Skip to content
Zaburi 49:7-8

Zaburi 49:7-8

7
Hakuna mwanadamu awaye yote awezaye kuukomboa uhai wa mwingine, au kumpa Mungu fidia kwa ajili yake.
8
Fidia ya uhai ni gharama kubwa, hakuna malipo yoyote yanayotosha,
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options