Skip to content
Zaburi 49:5-6

Zaburi 49:5-6

5
Kwa nini niogope siku mbaya zinapokuja, wakati wadanganyifu waovu wanaponizunguka,
6
wale wanaotegemea mali zao na kujivunia utajiri wao mwingi?
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options