Zaburi 49:1-4
1
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora. Sikieni haya, enyi mataifa yote, sikilizeni, ninyi wote mkaao dunia hii.
2
Wakubwa kwa wadogo, matajiri na maskini pamoja:
3
Kinywa changu kitasema maneno ya hekima, usemi wa moyo wangu utatoa ufahamu.
4
Nitatega sikio langu nisikilize mithali, nitafafanua kitendawili kwa zeze:
Settings