Skip to content
Zaburi 48:12-14

Mwito wa Kukagua Mji Mtakatifu

Zaburi 48:12-14
12
Tembeeni katika Sayuni, uzungukeni mji, hesabuni minara yake;
13
yatafakarini vyema maboma yake, angalieni ngome zake, ili mpate kusimulia habari zake kwa kizazi kijacho.
14
Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; atakuwa kiongozi wetu hata mwisho.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options