Skip to content
Zaburi 48:9-11

Zaburi 48:9-11

9
Ee Mungu, hekaluni mwako tunatafakari upendo wako usiokoma.
10
Ee Mungu, kama jina lako lilivyo, sifa zako zinafika hadi miisho ya dunia, mkono wako wa kuume umejazwa na haki.
11
Mlima Sayuni unashangilia, vijiji vya Yuda vinafurahi kwa sababu ya hukumu zako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options