Skip to content
Zaburi 48:4-8

Zaburi 48:4-8

4
Wakati wafalme walipounganisha nguvu, waliposonga mbele pamoja,
5
walimwona nao wakashangaa, wakakimbia kwa hofu.
6
Kutetemeka kuliwashika huko, maumivu kama ya mwanamke mwenye utungu wa kuzaa.
7
Uliwaangamiza kama meli za Tarshishi zilizovunjwa na upepo wa mashariki.
8
Kama tulivyokuwa tumesikia, ndivyo tulivyoona katika mji wa Bwana Mwenye Nguvu Zote, katika mji wa Mungu wetu: Mungu ataufanya uwe salama milele.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options