Zaburi 49:16-18
16
Usitishwe mtu anapotajirika, fahari ya nyumba yake inapoongezeka,
17
kwa maana hatachukua chochote atakapokufa, fahari yake haitashuka pamoja naye.
18
Ingawa alipokuwa akiishi alijihesabu kuwa heri, na wanadamu wanakusifu unapofanikiwa,