Skip to content
Zaburi 48:12-13

Zaburi 48:12-13

12
Tembeeni katika Sayuni, uzungukeni mji, hesabuni minara yake;
13
yatafakarini vyema maboma yake, angalieni ngome zake, ili mpate kusimulia habari zake kwa kizazi kijacho.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options