Skip to content
Zaburi 46:8-9

Zaburi 46:8-9

8
Njooni mkaone kazi za Bwana jinsi alivyofanya ukiwa katika nchi.
9
Anakomesha vita hata miisho ya dunia, anakata upinde na kuvunjavunja mkuki, anateketeza ngao kwa moto.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options