Rukia maudhui
Zaburi 41:13

Sifa: Hitimisho la Kitabu cha Kwanza

Zaburi 41:13
Inaonyesha mstari 13 pamoja na muktadha unaouzunguka.
10
Lakini wewe, Ee Bwana, nihurumie, ukaniinue tena, ili niweze kuwalipiza kisasi.
11
Najua kwamba wapendezwa nami, kwa kuwa adui yangu hanishindi.
12
Katika uadilifu wangu unanitegemeza na kuniweka kwenye uwepo wako milele.
13
Msifuni Bwana, Mungu wa Israeli, tangu milele na hata milele.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options