Zaburi 37:27-29
27
Acha ubaya na utende wema, nawe utaishi katika nchi milele.
28
Kwa kuwa Bwana huwapenda wenye haki naye hatawaacha waaminifu wake. Watalindwa milele, lakini uzao wa waovu utakatiliwa mbali.
29
Wenye haki watairithi nchi, na kuishi humo milele.