Skip to content
Zaburi 35:16-18

Zaburi 35:16-18

16
Kama watu wasiomcha Mungu, wamenidhihaki, wamenisagia meno.
17
Ee Bwana, utatazama mpaka lini? Niokoe maisha yangu na maangamizi yao, uhai wangu wa thamani kutokana na simba hawa.
18
Nami nitakushukuru mbele ya kusanyiko kubwa, nitakusifu katikati ya watu wengi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options