Skip to content
Zaburi 35:11-14

Zaburi 35:11-14

11
Mashahidi wakatili wanainuka, wananiuliza mambo nisiyoyajua.
12
Wananilipa baya kwa jema na kuiacha nafsi yangu ukiwa.
13
Lakini walipokuwa wagonjwa, nilivaa nguo ya gunia na nikajinyenyekesha kwa kufunga. Maombi yangu yaliponirudia bila kujibiwa,
14
niliendelea kuomboleza kama vile wao ni rafiki au ndugu. Niliinamisha kichwa chini kwa huzuni kama ninayemwombolezea mama yangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options