Rukia maudhui
Zaburi 34:19-22

Wokovu na Ukombozi

Zaburi 34:19-22
19
Mwenye haki ana mateso mengi, lakini Bwana humwokoa nayo yote,
20
huhifadhi mifupa yake yote, hata mmoja hautavunjika.
21
Ubaya utamuua mtu mwovu, nao adui za mwenye haki watahukumiwa.
22
Bwana huwakomboa watumishi wake, yeyote anayemkimbilia yeye hatahukumiwa kamwe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options