Rukia maudhui
Zaburi 33:9-11

Zaburi 33:9-11

9
Kwa maana Mungu alisema, na ikawa, aliamuru na ikasimama imara.
10
Bwana huzuia mipango ya mataifa, hupinga makusudi ya mataifa.
11
Lakini mipango ya Bwana inasimama imara milele, makusudi ya moyo wake kwa vizazi vyote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options