Skip to content
Zaburi 33:6-9

Zaburi 33:6-9

6
Kwa neno la Bwana mbingu ziliumbwa, jeshi lao la angani kwa pumzi ya kinywa chake.
7
Ameyakusanya maji ya bahari kama kwenye chungu; vilindi vya bahari ameviweka katika ghala.
8
Dunia yote na imwogope Bwana, watu wote wa dunia wamche.
9
Kwa maana Mungu alisema, na ikawa, aliamuru na ikasimama imara.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options