Rukia maudhui
Zaburi 33:1-3

Mwito wa Kusifu kwa Furaha

Zaburi 33:1-3
1
Mwimbieni Bwana kwa furaha, enyi wenye haki; kusifu kunawapasa wanyofu wa moyo.
2
Msifuni Bwana kwa kinubi, mwimbieni sifa kwa zeze la nyuzi kumi.
3
Mwimbieni wimbo mpya; pigeni kwa ustadi, na mpaze sauti za shangwe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options