Skip to content
Zaburi 30:8-12

Zaburi 30:8-12

8
Kwako wewe, Ee Bwana, niliita, kwa Bwana niliomba rehema:
9
“Kuna faida gani katika kuangamia kwangu? Katika kushuka kwangu shimoni? Je, mavumbi yatakusifu? Je, yatatangaza uaminifu wako?
10
Ee Bwana, unisikie na kunihurumia, Ee Bwana, uwe msaada wangu.”
11
Uligeuza maombolezo yangu kuwa kucheza, ulinivua nguo za gunia ukanivika shangwe,
12
ili moyo wangu uweze kukusifu na usikae kimya. Ee Bwana Mungu wangu, nitakushukuru milele.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options