8
Kwako wewe, Ee Bwana, niliita, kwa Bwana niliomba rehema:
9
“Kuna faida gani katika kuangamia kwangu? Katika kushuka kwangu shimoni? Je, mavumbi yatakusifu? Je, yatatangaza uaminifu wako?
10
Ee Bwana, unisikie na kunihurumia, Ee Bwana, uwe msaada wangu.”