Skip to content
Zaburi 30:8-10

Zaburi 30:8-10

8
Kwako wewe, Ee Bwana, niliita, kwa Bwana niliomba rehema:
9
“Kuna faida gani katika kuangamia kwangu? Katika kushuka kwangu shimoni? Je, mavumbi yatakusifu? Je, yatatangaza uaminifu wako?
10
Ee Bwana, unisikie na kunihurumia, Ee Bwana, uwe msaada wangu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options