Skip to content
Zaburi 3:3-6

Zaburi 3:3-6

3
Lakini wewe, Ee Bwana, ni ngao pande zote; umeniwekea utukufu na kuinua kichwa changu.
4
Ninamlilia Bwana kwa sauti kuu, naye ananijibu kutoka mlima wake mtakatifu.
5
Ninajilaza na kupata usingizi; naamka tena, kwa maana Bwana hunitegemeza.
6
Sitaogopa makumi elfu ya adui, wanaojipanga dhidi yangu kila upande.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options