Skip to content
Zaburi 3:1-2

Taabu na dhihaka

Zaburi 3:1-2
1
Zaburi ya Daudi. Alipomkimbia mwanawe Absalomu. Ee Bwana, tazama adui zangu walivyo wengi! Ni wengi kiasi gani wanaoinuka dhidi yangu!
2
Wengi wanasema juu yangu, “Mungu hatamwokoa.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options