Skip to content
Zaburi 3:3-5

Zaburi 3:3-5

3
Lakini wewe, Ee Bwana, ni ngao pande zote; umeniwekea utukufu na kuinua kichwa changu.
4
Ninamlilia Bwana kwa sauti kuu, naye ananijibu kutoka mlima wake mtakatifu.
5
Ninajilaza na kupata usingizi; naamka tena, kwa maana Bwana hunitegemeza.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options