Zaburi 3:3-5
3
Lakini wewe, Ee Bwana, ni ngao pande zote; umeniwekea utukufu na kuinua kichwa changu.
4
Ninamlilia Bwana kwa sauti kuu, naye ananijibu kutoka mlima wake mtakatifu.
5
Ninajilaza na kupata usingizi; naamka tena, kwa maana Bwana hunitegemeza.