Skip to content
Zaburi 29:1-2

Zaburi 29:1-2

1
Zaburi ya Daudi. Mpeni Bwana, enyi mashujaa, mpeni Bwana utukufu na nguvu.
2
Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake; mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options