Skip to content
Zaburi 28:8-9

Zaburi 28:8-9

8
Bwana ni nguvu ya watu wake, ngome ya wokovu kwa mpakwa mafuta wake.
9
Waokoe watu wako na uubariki urithi wako; uwe mchungaji wao na uwabebe milele.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options