Skip to content
Zaburi 28:6-7

Zaburi 28:6-7

6
Bwana asifiwe, kwa maana amesikia kilio changu nikimwomba anihurumie.
7
Bwana ni nguvu zangu na ngao yangu, moyo wangu umemtumaini yeye, nami nimesaidiwa. Moyo wangu unarukaruka kwa furaha nami nitamshukuru kwa wimbo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options