Rukia maudhui
Zaburi 28:6-7

Ujasiri Unaotokana na Maombi Kujibiwa

Zaburi 28:6-7
6
Bwana asifiwe, kwa maana amesikia kilio changu nikimwomba anihurumie.
7
Bwana ni nguvu zangu na ngao yangu, moyo wangu umemtumaini yeye, nami nimesaidiwa. Moyo wangu unarukaruka kwa furaha nami nitamshukuru kwa wimbo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options