Skip to content
Zaburi 26:11-12

Zaburi 26:11-12

11
Bali mimi ninaishi maisha yasiyo na lawama; nikomboe na unihurumie.
12
Miguu yangu imesimama katika uwanja tambarare; katika kusanyiko kuu nitamsifu Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options