Zaburi 22:3-5
3
Hata hivyo umesimikwa katika kiti cha enzi kama Uliye Mtakatifu; wewe ni sifa ya Israeli.
4
Kwako wewe baba zetu waliweka tumaini lao, walikutumaini nawe ukawaokoa.
5
Walikulilia wewe na ukawaokoa, walikutegemea wewe nao hawakuaibika.