Zaburi 21:4-6
4
Alikuomba maisha, nawe ukampa, wingi wa siku milele na milele.
5
Kutokana na ushindi uliompa, utukufu wake ni mkubwa, umeweka juu yake fahari na utukufu.
6
Hakika umempa baraka za milele, umemfanya awe na furaha kwa shangwe ya uwepo wako.