Rukia maudhui
Zaburi 19:1-4

Mbingu Zatangaza Utukufu wa Mungu

Zaburi 19:1-4
1
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Mbingu zinatangaza utukufu wa Mungu, anga zahubiri kazi ya mikono yake.
2
Siku baada ya siku zinatoa habari, usiku baada ya usiku zinatangaza maarifa.
3
Hakuna msemo wala lugha, ambapo sauti zao hazisikiki.
4
Sauti yao imeenea duniani pote, nayo maneno yao yameenea hadi miisho ya ulimwengu. Katika mbingu amepiga hema kwa ajili ya jua,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options