Skip to content
Zaburi 18:46-50

Zaburi 18:46-50

46
Bwana yu hai! Sifa ni kwa Mwamba wangu! Atukuzwe Mungu Mwokozi wangu!
47
Yeye ndiye Mungu anilipiziaye kisasi, awatiishaye mataifa chini yangu,
48
aniokoaye na adui zangu. Uliniinua juu ya adui zangu; uliniokoa toka kwa watu wajeuri.
49
Kwa hiyo nitakusifu katikati ya mataifa, Ee Bwana; nitaliimbia sifa jina lako.
50
Humpa mfalme wake ushindi mkuu, huonyesha fadhili zake kwa mpakwa mafuta wake, kwa Daudi na wazao wake milele.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options