Rukia maudhui
Zaburi 150:6

Sifa kwa Mungu kwa Viumbe Wote

Zaburi 150:6
Inaonyesha mstari 6 pamoja na muktadha unaouzunguka.
3
Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta, msifuni kwa kinubi na zeze,
4
msifuni kwa matari na kucheza, msifuni kwa kinanda cha nyuzi na filimbi,
5
msifuni kwa matoazi yaliayo, msifuni kwa matoazi yavumayo sana.
6
Kila chenye pumzi na kimsifu Bwana. Msifuni Bwana!
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options