Rukia maudhui
Zaburi 148:14

Mungu Huwainua Watu Wake

Zaburi 148:14
Inaonyesha mstari 14 pamoja na muktadha unaouzunguka.
11
wafalme wa dunia na mataifa yote, ninyi wakuu na watawala wote wa dunia,
12
wanaume vijana na wanawali, wazee na watoto.
13
Wote na walisifu jina la Bwana, kwa maana jina lake pekee limetukuka, utukufu wake uko juu ya nchi na mbingu.
14
Amewainulia watu wake pembe, sifa ya watakatifu wake wote, ya Israeli, watu walio karibu na moyo wake. Msifuni Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options