Zaburi 146:3-5
3
Usiweke tumaini lako kwa wakuu, kwa wanadamu ambao hufa, ambao hawawezi kuokoa.
4
Roho yao itokapo hurudi mavumbini, siku hiyo hiyo mipango yao yote hukoma.
5
Heri yeye ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake, ambaye tumaini lake ni katika Bwana, Mungu wake,