Skip to content
Zaburi 146:5-6

Zaburi 146:5-6

5
Heri yeye ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake, ambaye tumaini lake ni katika Bwana, Mungu wake,
6
Muumba wa mbingu na nchi, na bahari na vyote vilivyomo ndani yake: Bwana anayedumu kuwa mwaminifu milele na milele.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options