Skip to content
Zaburi 145:8-9

Zaburi 145:8-9

8
Bwana ni mwenye neema na mwingi wa huruma, si mwepesi wa hasira, bali ni mwingi wa upendo.
9
Bwana ni mwema kwa wote, ana huruma kwa vyote alivyovifanya.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options