Zaburi 144:5-8
5
Ee Bwana, pasua mbingu zako, ushuke, gusa milima ili itoe moshi.
6
Peleka umeme uwatawanye adui, lenga mishale yako uwashinde.
7
Nyoosha mkono wako kutoka juu, nikomboe na kuniokoa kutoka maji makuu, kutoka mikononi mwa wageni
8
ambao vinywa vyao vimejaa uongo, na mikono yao ya kuume ni midanganyifu.
Settings