Skip to content
Zaburi 144:9-11

Nadhiri ya Sifa na Ombi Jipya

Zaburi 144:9-11
9
Ee Mungu, nitakuimbia wimbo mpya, kwa zeze yenye nyuzi kumi nitakuimbia,
10
kwa Yule awapaye wafalme ushindi, ambaye humwokoa Daudi, mtumishi wake kutokana na upanga hatari.
11
Nikomboe na uniokoe kutoka mikononi mwa wageni ambao vinywa vyao vimejaa uongo, na mikono yao ya kuume ni midanganyifu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options