Rukia maudhui
Zaburi 142:5-7

BWANA Ndiye Kimbilio Langu Pekee

Zaburi 142:5-7
5
Ee Bwana, nakulilia wewe, nasema, “Wewe ni kimbilio langu, fungu langu katika nchi ya walio hai.”
6
Sikiliza kilio changu, kwa sababu mimi ni mhitaji sana; niokoe na wale wanaonifuatilia, kwa kuwa wamenizidi nguvu.
7
Nifungue kutoka kifungo changu, ili niweze kulisifu jina lako. Ndipo wenye haki watanizunguka, kwa sababu ya wema wako kwangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options