Skip to content
Zaburi 143:1-2

Zaburi 143:1-2

1
Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, sikia sala yangu, sikiliza kilio changu unihurumie; katika uaminifu na haki yako njoo unisaidie.
2
Usimhukumu mtumishi wako, kwa kuwa hakuna mtu anayeishi aliye mwenye haki mbele zako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options