Skip to content
Zaburi 143:3-4

Malalamiko ya Mateso na Kukata Tamaa

Zaburi 143:3-4
3
Adui hunifuatilia, hunipondaponda chini; hunifanya niishi gizani kama wale waliokufa zamani.
4
Kwa hiyo roho yangu inazimia ndani yangu, moyo wangu ndani yangu unakata tamaa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options