Rukia maudhui
Zaburi 142:3-4

Kuzidiwa na Taabu na Mitego

Zaburi 142:3-4
3
Wakati roho yangu inapozimia ndani yangu, wewe ndiwe unajua njia zangu. Katika njia ninayopita watu wameniwekea mtego.
4
Tazama kuume kwangu na uone, hakuna hata mmoja anayejihusisha nami. Sina kimbilio, hakuna anayejali maisha yangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options