Skip to content
Zaburi 142:1-2

Zaburi 142:1-2

1
Utenzi wa Daudi. Alipokuwa pangoni. Maombi. Namlilia Bwana kwa sauti, nainua sauti yangu kwa Bwana anihurumie.
2
Namimina malalamiko yangu mbele zake, mbele zake naeleza shida zangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options