8
Lakini nimekaza macho yangu kwako, Ee Bwana Mwenyezi, ndani yako nimekimbilia, usiniache nife.
9
Niepushe na mitego waliyonitegea, kutokana na mitego iliyotegwa na watenda mabaya.
10
Waovu na waanguke kwenye nyavu zao wenyewe, wakati mimi ninapita salama.