Skip to content
Zaburi 141:8-10

Zaburi 141:8-10

8
Lakini nimekaza macho yangu kwako, Ee Bwana Mwenyezi, ndani yako nimekimbilia, usiniache nife.
9
Niepushe na mitego waliyonitegea, kutokana na mitego iliyotegwa na watenda mabaya.
10
Waovu na waanguke kwenye nyavu zao wenyewe, wakati mimi ninapita salama.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options