Skip to content
Zaburi 142:1-3

Zaburi 142:1-3

1
Utenzi wa Daudi. Alipokuwa pangoni. Maombi. Namlilia Bwana kwa sauti, nainua sauti yangu kwa Bwana anihurumie.
2
Namimina malalamiko yangu mbele zake, mbele zake naeleza shida zangu.
3
Wakati roho yangu inapozimia ndani yangu, wewe ndiwe unajua njia zangu. Katika njia ninayopita watu wameniwekea mtego.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options