Rukia maudhui
Zaburi 140:9-11

Ombi la Hukumu ya Mungu

Zaburi 140:9-11
9
Vichwa vya wanaonizunguka vifunikwe na shida zinazosababishwa na midomo yao.
10
Makaa ya mawe ya moto na yawaangukie! Na watupwe motoni, katika mashimo ya matope, wasiinuke tena kamwe.
11
Wasingiziaji wasifanikiwe katika nchi; maafa na yawawinde watu wenye jeuri.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options