Skip to content
Zaburi 140:6-8

Tamko la Kumtumaini Mungu na Ombi la Ulinzi

Zaburi 140:6-8
6
Ee Bwana, ninakuambia, “Wewe ni Mungu wangu.” Ee Bwana, usikie kilio changu na kunihurumia.
7
Ee Bwana Mwenyezi, Mwokozi wangu mwenye nguvu, unikingaye kichwa changu siku ya vita:
8
Ee Bwana, usiwape waovu matakwa yao, usiache mipango yao ikafanikiwa, wasije wakajisifu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options