Skip to content
Zaburi 140:9-11

Zaburi 140:9-11

9
Vichwa vya wanaonizunguka vifunikwe na shida zinazosababishwa na midomo yao.
10
Makaa ya mawe ya moto na yawaangukie! Na watupwe motoni, katika mashimo ya matope, wasiinuke tena kamwe.
11
Wasingiziaji wasifanikiwe katika nchi; maafa na yawawinde watu wenye jeuri.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options