Rukia maudhui
Zaburi 14:7

Maombi ya Wokovu wa Israeli

Zaburi 14:7
Inaonyesha mstari 7 pamoja na muktadha unaouzunguka.
4
Je, watendao mabaya kamwe hawatajifunza: wale ambao huwala watu wangu kama watu walavyo mkate, hao ambao hawamwiti Bwana?
5
Wako hapo, wameingiwa na hofu kuu, maana Mungu yupo pamoja na wenye haki.
6
Ninyi watenda mabaya mnakwamisha mipango ya maskini, bali Bwana ndiye kimbilio lao.
7
Laiti wokovu wa Israeli ungalikuja kutoka Sayuni! Wakati Bwana arejeshapo wafungwa wa watu wake, Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi!
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options