Rukia maudhui
Zaburi 136:4-9

Maajabu ya Mungu Katika Uumbaji

Zaburi 136:4-9
4
Kwake yeye pekee atendaye maajabu makuu, Fadhili zake zadumu milele.
5
Ambaye kwa ufahamu wake aliziumba mbingu, Fadhili zake zadumu milele.
6
Ambaye aliitandaza dunia juu ya maji, Fadhili zake zadumu milele.
7
Ambaye aliumba mianga mikubwa, Fadhili zake zadumu milele.
8
Jua litawale mchana, Fadhili zake zadumu milele.
9
Mwezi na nyota vitawale usiku, Fadhili zake zadumu milele.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options